Office Secretaries I (4)

at Tanzania Institute of Accountancy (TIA)
Location Dar es salaam Kigoma, Mbeya & Singida, Tanzania, United Republic of
Date Posted March 21, 2020
Category Management
Secretary
Job Type Full-time
Currency TZS

Description

JOB DETAILS:
Tangazo La Nafasi Za Uhamisho Kwa Watumishi Wa Umma
Taasisi ya Uhasibu Tanzania ina nafasi 34 kwa kada mbalimbali kwa ajili ya watumishi walioajiriwa na serikali kuhamia Taasisi ya uhasibu Tanzania. Nafasi hizi zinategemewa kujazwa katika Kampasi zetu zote sita (6) kama inavyoonekana katika mchanganuo;

Nafasi Za Kujaza Kwa Njia Ya Uhamisho Taasisi Ya Uhasibu Tanzania
NA: 4
Cheo: Office Secretaries I
Idadi/Nafasi: 4
Kituo Cha Kazi (Kampasi): Dsm, Kigoma, Mbeya, Singida .

Applying Instructions

Vigezo Vya Kuhamia
• Uwe mwajiriwa wa Serikali mwenye umri usiozidi miaka 40
• Barua ya maombi ipitishwe na mwajiri wako na igongwe muhuri
• Ambatisha Vyeti vya Taaluma pamoja na Transcripts na vyote viwe certified
• Ambatisha nakala ya cheti cha kuzaliwa (Certified)
• Ambatisha taarifa binafsi (CV)
• Waombaji waalimu (Assistant Lecturer GPA 3.8 (First Degree) 4.0 (Master’s)
• Muombaji athibitishe atajigharamia uhamisho huo.
• Muombaji aweke check Na. kwenye barua ya maombi.
• Maombi yote yaandikwe na kutumwa kwa

AFISA MTENDAJI MKUU,
TAASISI YA UHASIBU TANZANIA,
S.L.P 9522,
DAR ES SALAAM.
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 30 Machi, 2020

Imetolewa na
Afisa Mtendaji Mkuu,
Taasisi ya Uhasibu Tanzania