Mhudumu Wa Jikoni /Mess Daraja La II
Location | Dar Es Salaam, Tanzania, United Republic of |
Date Posted | November 21, 2020 |
Category | Government Management |
Job Type | Full-time |
Currency | TZS |
Description
JOB DETAILS:
Halmashauri Ya Mji Kasulu
KUMB NA.KSTC/S.1/20/52
12/11/2020
Tangazo la nafasi za kazi. Mkurugenzi wa halmashauri ya mji kasulu anapenda kuwatangazia wananchi wote wenye sifa za kuomba nafasi za kazi zifuatazo: .
Sifa za Mwombaji.
Awe na cheti cha Kidato cha Nne na uzoefu wa kazi kwa muda usiopungua miaka mitatu.
Job Skills: Not Specified
Kazi za Kufanya:
• Kusafisha vyombo vya kupikia.
• Kusafisha vyombo vya kulia chakula
• Kusafisha meza itumiwayo kwa kulia chakula.
• Kuwatayarishia Wapishi/Waandazi vifaa vya Mpishi na Mezani
• Kusafisha maeneo ya kulia chakula na kupikia
• Kuwasaidia waandazi na Wapishi
Job Education Requirements: Not Specified
MSHAHARA. Kwa kuzingatia ngazi ya Mshahara kwa watumishi wa Umma TGOS Au kwa mwezi.
Applying Instructions
MAELEKEZO YA JUMLA NA UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI:
• Waombaji wote wawe ni raia wa Tanzania na wenye umri kati ya miaka 18 - 45.
• Wawe hawajawahi kuajiriwa serikalini.
• Barua za maombi ziambatishwe na nakala za vyeti vya Elimu, Taaluma, Cheti cha
• Kuzaliwa na Picha mbili (2) za rangi (Passport size) za hivi karibuni. Pamoja na maelezo binafsi (CV).
• Testmonials, "Provisonal Results" Statement of Results" hati za matokeo za kidato cha Nne na sita (Form IV and Form VI Results Slips) HAVITAKUBALIWA.
• Waombaji waliosoma nje ya nchi waambatishe uthibitisho wa vyeti vyao kutoka
• Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA/NACTE)
Namna ya kuwasilisha maombi: Barua ya maombi iandikwe kwa mkono.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 26/11/2020 saa 9:30 Alasiri
Maombi yote yatumwe kwa Anuani ifuatayo:
Mkurugenzi wa Mji,
Halmashauri ya Mji,
S.L.P 475
KASULU.