MHANDISI II (UMEME) – 10
Location | Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of |
Date Posted | October 19, 2021 |
Category | Electrician Engineering Government |
Job Type | Full-time |
Currency | TZS |
Description
JOB SUMMARY | NA |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i.Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa na Bodi ya Usajili ya Wahandisi (Professional Engineer) ili kupata uzoefu unaotakaiwa; ii.Kufanya kazi kwa vitendo katika fani zinazomuhusu ili kumuwezesha kupata sifa za kutosha kusajiliwa na Bodi ya Usajili wa Wahandisi; iii.Kukusanya taarifa na takwimu kuhusu vifaa vya umeme na mitambo mbalimbali ndani na nje ya nchi; iv.Kupitia mapendekezo ya miradi (project proposals) mbalimbali ya ufundi na umeme yanayowasilishwa Wizarani; na v.Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na Msimamizi wake wa kazi. |
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha Nne/sita waliofuzu Mafunzo ya Shahada/ Stashahada ya Juu katika fani ya Uhandisi Umeme (Bachelor of Science in Electrical Engeneering) kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. |
REMUNERATION | TGS E |