KUSAMBAZA DAGAA NA SAMAKI (10)
Location | Dar Es Salaam, Tanzania, United Republic of |
Date Posted | June 22, 2021 |
Category | Management |
Job Type | Full-time |
Currency | TZS |
Description
Description
Nahitaji vijana wa kusambaza Dagaa na samaki wakavu mtaaani, kama uko Mbezi Mwisho itakuwa rahisi zaidi.
Awe wa kujituma kwenye kazi na mwenye nia ya kujikwamua kimaisha kwani akifanya kazi vizuri atawezeshwa mtaji kidogo kuanzisha Biashara yake.
Mshahara Ths. 150,000 kwa mwezi